Staa wa klabu ya Manchester United Bruno Fernandes amebeba tuzo ya mchezaji bora wa mwezi Novemba huku kocha wa klabu ya Tottenham Hotspurs Jose Mourinho nae akibeba tuzo hiyo kwa upande wa makocha.
Fenandes amekua na mchango bora sana tangu ajiunge na Manchester United kiasi cha kuwa tegemeo la klabu hiyo Mourinho akirejesha makali ya Tottenham kiasi cha kuwa juu ya msimamo wa Epl.
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.