Site icon Sports Leo

Jembe KMC Atambulishwa Rasmi Simba

Uongozi wa Simba Sc umemtambulisha rasmi ,Charlse Ilanfya kwenye kikosi kinachonolewa na kocha mkuu Sven Vandenbroeck.

Ilanfya alikuwa anakipiga ndani ya KMC ambapo aliibukia huko msimu wa 2018/19 akitokea labu ya Mwadui Fc na amekuwa chaguo la Sven kwa msimu unaoanza wa 2020/2021.

Winga huyo alitupia mabao 6 kati ya 35 ndani ya KMC kwenye ligi iliyomaliza ikiwa nafasi ya 13 katika msimu wa 2019/2020.

Exit mobile version