Home Soka Kagoma Aachwa Msafara Kuivaa Fc Constantine

Kagoma Aachwa Msafara Kuivaa Fc Constantine

by Sports Leo
0 comments

Klabu ya Simba Sc imesafiri kuelekea nchini Algeria kuvaana na klabu ya Fc Constantine ya nchini humo katika mchezo wa hatua ya makundi ya kombe la Shirikisho barani Afrika ambapo mastaa 22 wamesafiri.

Katika orodha iliyotolewa na klabu hiyo jina la kiungo Yusuph Kagoma halimo ambapo ameachwa kutokana na kusumbuliwa na majeraha.

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited