Home Masumbwi Kiduku Kukipiga J’mosi

Kiduku Kukipiga J’mosi

by Sports Leo
0 comments

Bondia Twaha Kiduku anatarajiwa kupanda ulingoni siku ya Jumamosi kuzichapa na Alex Kabangu katika pambano la uzito wa kati la kuwania ubingwa wa UBo litakalofanyika mkoani morogoro.

Pambano hilo la raundi nane litafanyika mkoani Morogoro ambako ni nyumbani kwa kina Kiduku ambapo viingilio vitakua ni elfu 10 na ishirini huku upande wa viti maalumu itakua elfu 30.

Mratibu wa pambano hilo, Bakari Khatibu amesema kuwa maandalizi ya pambano yamekamilika kwa asilimia 100 huku akiwataka wadau wangumi nchini kujitokeza kwa wingi kushuhudia pambano hilo.

banner

“Maandalizi kwa upande wetu ni mazuri tunashukuru Mungu tayari Kabangu ameshaingia na yupo hapa Morogoro, tunachosubiria ni siku kufika kwa ajili ya mambo mengine”.

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited