Tetezi huko Hispania zinaeleza kuwa nyota wa kimataifa,Lionel Messi ametangaza kutimka zake Barcelona na tayari ameshawaeleza mabosi wake.
Sababu kubwa inayomfanya mshambuliaji huyo kutaka kuondoka ni kutokana na udhalilishwaji wa kuchapwa mabao 8-2 na Baryen Munich siku ya Ijumaa na kutolewa mazima kwa timu yao hatua ya robo fainali ya ligi ya mabingwa Ulaya.
Messi alitishia kugoma kusaini mkataba mpya hadi kujua muafaka wa usajili utakaofanyika Nou Camp kama utakuwa wa kueleweka lakini kwa sasa ameonyesha kutokuwa na subra tena hivyo anahitaji kuondoka haraka iwezekanavyo.
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.