Klabu ya Real Madrid imekubali kichapo cha mabao 4-3 kutoka kwa klabu ya Fc Barcelona katika mchezo wa ligi kuu ya soka nchini humo (La liga) uliofanyika katika uwanja wa Olimpic Lluis Company nchini humo.
Kipindi cha pili Barcelona waliendelea kukosa nafasi za wazi ambapo dakika ya 70 Mbape alifunga bao la tatu akipokea pasi ya Vinicious Jr.
Kutokana na ushindi huo sasa Barcelona imefikisha alama 82 kileleni mwa msimamo wa ligi kuu ya Laliga huku Real Madrid wakiwa na alama 75 katika nafasi ya pili ya msimamo huku timu zote zikiwa zimecheza michezo 35.
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.
Barcelona wakishinda mchezo unaofuatia dhidi ya Rcd Espanyol siku ya alhamis basi moja kwa moja watakua mabingwa wa La liga msimu huu wa 2024-2025 huku wakiweka rekodi ya kuwafunga mahasimu wao Real Madrid katika michezo yote ya El Classico msimu huu.