Bernard Morrison kiungo mshambuliaji wa Yanga amesema kuwa kwa kipindi hiki cha maambukizi ya Corona anachukua tahadhari kwa kukaa ndani na kusikiliza muziki ili kuwa salama.
” Ninachokifanya kwa sasa ni kuchukua tahadhari ambapo najiepusha na mikusanyiko ya watu pamoja na kujichanganya sehemu ambazo sio salama kwa lengo la kujikinga”
“Napenda kusikiliza muziki na kufanya mazoezi binafsi ili kulinda kipaji changu, kikubwa ni kuona kwamba kunakuwa na hali ya utulivu na ile hofu inaondoka”alisema Morrison
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.
Ligi Kuu Bara imesimamishwa na Serikali, Machi 17 na inatarajiwa kurejea baada ya mwezi mmoja iwapo hali ya maambukizi ya Virusi vya Corona yatapungua.