Home Makala Nabi Apania Kuibomoa Simba Sc

Nabi Apania Kuibomoa Simba Sc

by Sports Leo
0 comments

Klabu ya Kaizer chiefs imeonyesha  ya kumhitaji mlimzi wa kushoto na nahodha anayemaliza mkataba ndani ya klabu ya Simba Sc Mohammed Hussein Zimbwe ambaye yuko mbioni kumaliza mkataba wake mwishoni mwa msimu huu 2024-2025.

Hii inakuwa ni mara ya pili Kwa klabu hiyo kuhitaji huduma yake baada ya kufanya hivyo misimu miwili nyuma licha kuendelea kumkosa kutokana na Simba Sc kushinda Vita hizo za usajili.

banner

Mkataba wa Simba Sc na Mohamed Hussein unaelekea ukingoni na walishaketi mara mbili bila mafanikio yoyote kwa pande zote mbili ambapo suala kubwa likiwa na maslahi.

Uongozi wa Simba umejipanga kurejea tena mezani na mlinzi huyo baada ya kukamilika kwa mchezo wa fainali wa kombe la shirikisho barani Afrika dhidi ya klabu ya Rs Berkane.

Hata hivyo kuna asilimia kubwa kwa klabu hiyo kumkosa tena kutokana na wachezaji wengi hasa waliojihakikishia nafasi katika klabu walizopo kutotaka kuhama kirahisi rahisi.

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited