Site icon Sports Leo

Namungo Waangukia Kundi la Kifo

Baada ya kupata ushindi wa mabao 6-2 dhidi ya Primera de agosti ya nchini Angola katika mchezo wa kwanza wa kombe la shirikisho uliofanyika katika uwanja wa Chamazi sasa timu hiyo imewekwa katika kundi la kifo endapo itafuzu kuingia hatua ya makundi.

Iko hivi licha ya timu hizo kubakisha mchezo mmoja wa marudiano,Shirikisho la soka barani afrika limetoa kabisa orodha ya makundi ya timu hizo yalipangwa hivi leo na endapo namungo atafuzu basi ajindae kukutana na waarabu katika mechi nne kati ya sita.

Makundi kamili haya hapa…

CAF Confederation Cup Groups
GROUP A
Enyimba FC
ES SΓ©tif
Orlando Pirates
Al Ahli Benghazi
GROUP B
RS Berkane
JS Kabylie
Cotonsport Garoua
NAPSA Stars
GROUP C
Etoile Sahel
CS Sfaxien
Salitas FC
ASC Jaraaf
GROUP D
Raja Club Athletic
Pyramids FC
Nkana FC
Namungo SC /Primeiro Agosto

Exit mobile version