Home Makala Yanga Sc Yamuaga Rasmi Azizi Ki

Yanga Sc Yamuaga Rasmi Azizi Ki

by Sports Leo
0 comments

Ni rasmi sasa klabu ya Yanga sc imemuuza kiungo mshambuliaji wake Stephan Aziz Ki kwenda katika klabu ya Wydad Athletic ya nchini Morocco kwa dau linalokadiriwa zaidi ya shilingi bilioni 2 za kitanzania.

Baada ya tetesi na taarifa za awali kuhusu uwepo wa dili hilo sasa rasmi klabu hiyo imethibitisha kupitia mitandao yake ya kijamii kuachana na staa huyo na kuvuta mkwanja mrefu.

banner

Yanga sc imechapisha maudhui maalumu ya kumuaga staa hiyo aliyeichezea klabu hiyo kwa misimu mitatu mfululizo akitwaa mataji ya ligi kuu mara mbili na kombe la Shirikisho la Crdb mara tatu na kombe la ngao ya jamii mara tatu pia.

Azizi Ki tayari ameshaondoka klabuni hapo kujiunga na waajiri wake wapya nchini Morocco ambapo moja kwa moja ataingia kambini kujiandaa na michuano maalumu ya klabu bingwa duniani kwa ngazi ya vilabu itakayofanyika mwezi

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited