Mwanamielekea Mark Calaway maarufu kama The Undertaker ametangaza kustaafu kwake mchezo huo kupitia video iliyoonyeshwa na Shirikisho la mieleka duniani(WWE)
Undertaker mwenye miaka 55, amecheza michezo ya mieleka kwa miaka 33 baada ya kujiunga na WWF kwa mara ya kwanza mwaka 1990.
Amesema kwa sasa hatarudi tena kwa kuwa hana lengo lingine la kutimiza katika mieleka.
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.