Inawezekana mshambuliaji John Bocco akawakosa Zambia katika mchezo wa kundi D kwenye michuano ya mataifa ya Afrika kwa wachezaji wa ndani (Chan) yanayoendelea nchini Cameroon.
Nahodha huyo wa timu ya taifa ya Tanzania iliyoko katika michuano hiyo anatajwa kutokuwa fiti bado na yawezekana Erasto Nyoni akavaa kitambaa cha unahodha badala yake katika mchezo utaopigwa uwanja wa Limbe, saa 1:00 Usiku ( EAT ).
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.