Klabu ya Simba SC 🇹🇿 imeanza kuwania saini ya mshambuliaji wa Bouenguidi Sports, Junior Bayahno-Aubyang raia wa Gabon ili kujiweka fiti kuelekea msimu ujao.
Junior mwenye umri wa miaka 24, amefunga mabao 4 katika mechi 6 katika mechi za awali za Caf Champions League.
Hata hivyo Simba Sc wanatarajia kupata changamoto kutoka kwa vilabu vya Asec Mimosas, Tp Mazembe na Wydad Casablanca ambavyo navyo vimeonyesha nia ya kumhitaji.
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.