Baadhi ya wabunge wa bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania wametoa malalamiko kuhusu utendaji wa taaasisi za michezo nchini za shirikisho la soka(TFF) na baraza la sanaa la Taifa(Basata).
Wabunge hao wamesema hayo bungeni wakati wakichangia bajeti ya Wizara ya michezo sanaa na utamaduni ambapo mbunge Festo Sanga alilalamikia kuhusu utendaji wa vyombo hivyo nchini huku akiungwa mkono na mbunge wa Muheza Hamis Mwinjuma pamoja na Mbunge wa Mafinga mjini Cosato Chumi ambaye alilalamika suala la Tff kugeuka kuwa chombo cha kufungia fungia.
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.