Ikiwa tayari kikosi cha timu Yanga sc kimewasili wilayani Ruangwa ambapo leo kitawavaa Namungo Fc katika mchezo wa ligi kuu nchini benchi la ufundi la timu hiyo limesema wako kamili kwa mchezo huon utakaofanyika leo jioni.
Licha ya kuwakosa mabeki Abdalla Shaibu na Yassin Mustapha huku kiungo sukari Carlos Carlinhos nae akikosekana pamoja na Farid Mussa na Haruna Niyonzima,wachezaji wengine wako tayari kwa mchezo kwa mujibu wa mkuu wa kitengo cha Habari cha klabu hiyo.
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.