Home Soka Fitna Zawaponza Barca

Fitna Zawaponza Barca

by Sports Leo
0 comments

Klabu ya Barcelona imetozwa faini ya kiasi cha Euro 300 na shirikisho la soka la Hispania baada ya kuvunja sheria wakati wa usajili wa mshambuliaji Antoine Griezman kutoka Atletico Madrid kwa dau la Paundi milioni 120.

Timu hiyo imetozwa faini hiyo baada ya kuanza mazungumzo na mchezaji huyo mapema bila kupewa ruhusa na klabu yake ya Atletico Madrid kinyume na sheria na taratibu za usajili.

Barcelona ilimsajili nyota huyo wa timu ya taifa ya ufaransa baada ya kulipa kiasi kilichopo katika mkataba wake japo Atletico walilalamika kuwa mazungumzo yalianza kabla ya nyota huyo hajavunja mkataba wake.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited