Home Soka Majanga Chelsea

Majanga Chelsea

by Dennis Msotwa
0 comments

Kocha Frank Lampard ana kazi kubwa ya kuhakikisha anaibuka na ushindi katika michezo ya ligi kuu nchini humo huku akikabiliwa na majeruhi hasa ya wachezaji muhimu kikosini humo.

Lampard atawakosa beki kisiki Antonio Rudiger huku pia akimkosa Ross Barkley baada ya wote kupata majeraha huku Rudiger akiwa amejitonesha baada ya kuwa ameanza mazoezi akitoka kufanyiwa upasuaji wa mguu.

Ross Barkley akipewa siku kumi za mapumziko kufuatia kuwa majeraha na Kiungo Mason Mount akiwa na hatihati mpaka uchunguzi wa kina kuhusu afya yake ufanyike.

banner

Ruben Loftus Cheek naye yupo kitandani akijiuguza na maumivu ya kiwiko aliyopata wakati akiitumikia klabu hiyo.

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited