Kikosi cha timu ya taifa ya Tanzania bara (Kilimanjaro stars) kitakachoingia kambini kujiandaa na michuano ya chalenji kimetajwa ambapo majina ya wachezaji wapya wamesheheni.
Kikosi hicho kitakachokua chini ya kocha mkuu Ettiene Ndayiragije kimesheni majina ya mastaa 32 huku pia baadhi ya majina mageni kama Mwita Gereza,Zawadi Mauya na Yusuph Mhilu huku pia Aishi Manula naye akirejeshwa baada ya kutokuwem0 kwa muda.
Kikosi kamili ni>>
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.