Home Makala Manyika Ndani Ya Polisi Tanzania

Manyika Ndani Ya Polisi Tanzania

by Dennis Msotwa
0 comments

Klabu ya Polisi Tanzania imeinasa saini ya kipa Manyika Peter Manyika kwa mkataba wa mwaka mmoja kwenye usajili wa dirisha dogo unaotarajiwa kufungwa kesho saa sita usiku.

Manyika amejiunga na Polisi Tanzania akitokea klabu ya KCB inayoshiriki ligi kuu nchini Kenya ikiwa hapo awali aliwahi kucheza Simba Sc na Singida United alipokuwa Tanzania.

Mwenyekiti wa kikosi hicho Malale Hamsini anatarajia matokeo mazuri kwa mlinda mlango huyo katika ligi zinazoendelea nchini.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited