Klabu ya Polisi Tanzania imeinasa saini ya kipa Manyika Peter Manyika kwa mkataba wa mwaka mmoja kwenye usajili wa dirisha dogo unaotarajiwa kufungwa kesho saa sita usiku.
Manyika amejiunga na Polisi Tanzania akitokea klabu ya KCB inayoshiriki ligi kuu nchini Kenya ikiwa hapo awali aliwahi kucheza Simba Sc na Singida United alipokuwa Tanzania.
Mwenyekiti wa kikosi hicho Malale Hamsini anatarajia matokeo mazuri kwa mlinda mlango huyo katika ligi zinazoendelea nchini.
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.