Straika wa klabu ya Kmc Sadala Lipangile ameshinda tuzo ya mchezaji bora wa mwezi january kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na shirikisho la soka nchini(Tff).
Staa huyo ameshinda tuzo hiyo akiwabwaga Hassan Dilunga wa Simba sc na Nicolaus Wadada wa Azam fc huku kocha wa Simba Sven Vandenbroeck na Malale Hamsini wa Polisi Tanzania wakibwagwa na kocha wa Azam fc Aristica Cioaba.
Lipangile atajinyakulia kiasi cha shilingi Milioni moja pamoja na king’amuzi cha Azam Tv.
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.