Bondia Mmarekani, Deontay Wilder, amesema uzito wa nguo alizovaa ndio sababu kubwa ya yeye kupoteza pambano lake dhidi ya bondia, Tyson Fury.
Bondia huyo mwenye vituko, alivaa nguo zilizotengenezwa na ngozi kama zile zilizovaliwa na jeshi la warumi hapo zamani za kale.
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.
“Nilipofika raundi ya tatu, miguu yote iliisha nguvu. Nguo zile ndio zilizosababisha kwani zilikuwa na kilo nyingi, hivyo nilichoka kabla hata sijaingia ulingoni”.