Home Makala Rekodi ya Simba NaYanga Miaka 10 Iliyopita

Rekodi ya Simba NaYanga Miaka 10 Iliyopita

by Sports Leo
0 comments

Simba na Yanga ina matokeo yanayoelekea kufanana katika mechi za ligi kuu ambazo zimewakutanisha jambo linaloleta motisha hadi hivi sasa kwa kila mmoja kutaka kuupata ushindi ili kuthibitisha nani mbabe kati yao.

Kwenye mechi 20 ambazo zimewakutanisha watani hao wa jadi katika ligi kuu ndani ya kipindi cha miaka kumi,Simba imeweza kushinda mechi sita huku Yanga wakipata ushindi mechi tano na kudroo mara sita.

Ni mara mbili tu timu hizo kati ya mechi 20 katika ligi kumalizika bila bao kufungwa ambapo ni Octoba,8 2014 na Septemba 30,2018.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited