Home Makala Ligi Kuu Ureno Kurejea May,30

Ligi Kuu Ureno Kurejea May,30

by Sports Leo
0 comments

Serikali ya Ureno imebainisha kuwa ligi kuu nchini humo itaruhusiwa kurejea tena mwezi May 30, baada ya kusimama kutokana na janga la Covid-19 lililoikuta dunia nzima.

Waziri mkuu wa nchini humo, Antonio Costa ametangaza hilo Jana Alhamisi akisema kurejea kwa ligi hiyo kutaambatana na idhini pia ya mamlaka ya afya huku ikitarajiwa kuchezwa bila mashabaki.

Porto wanaongoza ligi hiyo wakiwa na alama 60 huku Benfica wakiwa nafasi ya pili kwa alama 59 na kila timu ikibakiwa na michezo 10 tu.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited