Home Makala Molinga Apata Shavu

Molinga Apata Shavu

by Sports Leo
0 comments

Mchezaji wa Kagera Sugar ,Kelvin Sabato amesema kuwa  Mshambuliaji David Molinga anayecheza ndani ya Yanga Sc ni kati ya washambuliaji wenye kiwango kikubwa cha uchezaji licha ya kukosolewa na mashabiki wa mpira.

Kelvin Sabato ameyasema hayo wakati wa kipindi cha #kipenga xtra cha East Africa Radio ,ambapo amesema kuwa endapo Molinga akipewa nafasi atafanya vizuri kwenye kikosi cha Yanga.

“Mimi ni mshambuliaji na huwa ninategemea sana nafasi ninazotengenezewa na watu waliokuwa nyuma yangu ,kwa mimi binafsi Molinga anajua mpira na vitu vingi sana anavyo ila je waliokuwa nyuma yake wanamtengenezea nafasi?alisema Kelvin Sabato.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited