Home Makala Barca Yarudi Kileleni

Barca Yarudi Kileleni

by Sports Leo
0 comments

Klabu ya Barcelona fc jana imerudi kileleli mw ligi ku nchini humo baada ya kuifunga klabu ya Athletic Bilbao kwa bao 1-o.

Bao hilo lilifungwana kiungo raia wa Crotia Ivan Raktic dakika ya 71 na kumfanya nahodha wa klabu hiyo Lionel Messi kusherehekea siku yake ya kutimiza miaka 33 kwa furaha ya ushindi huku pia akiwa na magoli 699 katika michuano yote klabuni hapo.

Barca imefikisha jumla ya alama 68 na kurudi kileleni mwa ligi ya La liga huku mahasimu wao wakuu Real Madrid wakiwa na alama 65 pamoja na mchezo mmoja mkononi.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited