Home Makala Minziro Kocha Bora VPL

Minziro Kocha Bora VPL

by Sports Leo
0 comments

Fred Felix Minziro ambaye anainoa Mbao Fc ya Mwanza amechaguliwa kuwa Kocha Bora wa mwezi Julai kwenye Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) msimu wa 2019/20 akiwashinda Amri Said wa Mbeya City na Aristica Cioaba wa Azam aliokuwa akishindana nao.

Minziro aliiongoza Mbao kushinda michezo mitano kati ya sita waliyocheza ndani ya mwezi Julai na kupata sare moja.

Mbao FC itashiriki ligi daraja la kwanza msimu wa 2020/21 kwa kuwa ilitolewa na Ihefu FC kwenye mchezo wa playoffs kwa faida ya mabao ya ugenini.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited