Home Makala Kocha Barca Hatihati Kubebeshwa Virago

Kocha Barca Hatihati Kubebeshwa Virago

by Sports Leo
0 comments

Baryen Munich kutoka Ujerumani imekuwa timu ya kwanza kuifunga Barcelona zaidi ya mabao matano kwenye mchezo mmoja wa ligi ya mabingwa  Barani Ulaya.

Barcelona imekumbana na kipigo cha mabao 8-2 katika mchezo wa robo fainali ya ligi ya mabingwa Ulaya ambapo mabao hayo yamehatarisha kibarua cha kocha wao mkuu,Quique Setien.

Tetesi zinaeleza kuwa Setien amekuwa hana kiwango kizuri ndani ya Barca hata alipopoteza mbele ya Real Madrid waliotwaa ubingwa wa La Laliga mwezi uliopita, hivyo tayari mabosi wa timu hiyo wameshajadili kuhusu mbadala wake kwa kwa msimu ujao.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited