Home Makala Bale Huyoo Spurs

Bale Huyoo Spurs

by Dennis Msotwa
0 comments

Staa wa Real Madrid Gareth Bale na Sergio Reguilon wameondoka katika jiji la Madrid na kuelekea London ili kukamilisha usajili wao wa kujiunga na klabu ya Tottenham Hotspurs.
Taarifa za ndani zinaeleza kuwa Bale kasaini mkataba wa mwaka mmoja kwa mkopo kuitumikia klabu hiyo huku Reguilon akipewa dili ya kudumu kuungana na Jose Mourinho jijini London.
Kumbuka wachezaji hao wamefanyiwa vipimo wakiwa katika jiji la Madrid na kilichosalia ni kuwatambulisha kama wachezaji wa Tottenham Hotspur.

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited