Home Makala Rais Lyon Atoa Ruksa Kusepa

Rais Lyon Atoa Ruksa Kusepa

by Sports Leo
0 comments

Rais wa klabu ya Olympique Lyon ,Jan Michael Aulas amewambia wachezaji wote wa timu hiyo kufikia ijumaa mchezaji yeyote aliepo kwenye timu hiyo anayetaka kuondoka aondoke kabla ya siku hiyo.

Hii ni kwa wachezaji walioomaliza mikataba yao ndani ya Lyon na kama hatoondoka basi mchezaji huyo asahau kuondoka katika klabu hiyo kwenye Dirisha hilo kubwa la usajili lililofunguliwa Septemba ,2 mwaka huu.

Rais huyo anafanya hivyo ili kuwafanya Arsenal na Barcelona Wanaowataka Houssam Auor na Memphis Depay kuongeza kasi kwenye kukamilisha madili ya kuwachukua nyota hao.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited