Home Makala Beki Kmc Kutua Mbeya City

Beki Kmc Kutua Mbeya City

by Dennis Msotwa
0 comments

Klabu ya Kmc inakaribia kumtoa kwa mkopo wa nusu msimu mlinzi wao wa kati David Mwassa kuelekea klabu ya Mbeya city yenye maskani yake jijini Mbeya.

Mwassa alisajiliwa Kmc akitokea Lipuli Fc iliyoshuka daraja,amekosa nafasi kabisa ndani kikosi cha Kmc ambacho kina walinzi wengi vijana kama Lusajo Mwaikenda,Andrew vicent na Ismail Gambo.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited