Mshambuliaji wa Manchester United Edinson Cavani amefungiwa kutocheza michezo 3 pamoja na faini ya kiasi cha £100,000 kwa neno lake la kibaguzi alilolitoa katika mtandao wa Instagram dhidi ya shabiki yake.
Mshambuliaji huyo wa zamani wa Psg amefungiwa kwa kosa la kupost mtandaoni kwa kutumia neno linaloashiria ubaguzi. Neno hilo ni ”Negrito”Cavani atakosa mchezo dhidi ya Aston Villa (PL), Man City (EFL Cup) na Watford (FA Cup).
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.