Home Soka Yanga Sc Yatua Mapinduzi

Yanga Sc Yatua Mapinduzi

by Sports Leo
0 comments

Kikosi cha wachezaji 20 wa klabu ya Yanga sc kimetua salama visiwani Zanzibar kushiriki michuano ya kombe la mapinduzi litakaloanza kesho mpaka tarehe 12 januari visiwani humo.

Kikosi cha Yanga sc kimetua visiwani humo kikiwa na mastaa kadhaa huku kikiwakosa baadhi ya nyota walioitwa timu za Taifa na wengine wamekua na majeraha na matatizo ya kifamilia huku Carlos Carinhos akiwa ni miongoni mwa mastaa walisafiri na timu hiyo.

Yanga sc itashuka dimbani kesho kuvaana na Jamhuri Fc ya mjini Pemba ambapo mechi hiyo itakua na mechi ya pili itakayochezwa jioni.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited