Home Makala Messi wa Burundi Atua Namungo Fc

Messi wa Burundi Atua Namungo Fc

by Sports Leo
0 comments

Klabu ya Namungo imekamilisha usajili wa Kiungo Mshambuliaji wa klabu ya Olympic Star ya nchini Burundi Kwizera Eric maarufu kama Messi wa Burundi ili kuisadia katika mbio za ubingwa wa ligi kuu na michuano ya kimataifa.

Mshambuliaji huyo anayemudu kukatiza mbele ya msitu wa mabeki ataanza kuitumikia Namungo Fc kwenye mashindano ya Mapinduzi cup yanatarajiwa kuanza siku ya kesho huko Zanzibar.

Eric Kwizera ana mudu vizuri kucheza namba 7,9,10 na 11 na anatarajiwa kutoa changamoto kwa mawinga wa klabu hiyo Shiza Kichuya,Idd Kipagwile na wengine.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited