Home Soka Yacouba Bado Bado

Yacouba Bado Bado

by Sports Leo
0 comments

Mshambuliaji wa klabu ya Yanga sc Yacouba Sogne ataendelea kutoonekana uwanjani baada ya kutokupona majeraha yake yanayomsumbua kwa zaidi ya wiki mbili sasa.

Awali nyota huyo alikosa mechi za mwisho michuano ya kombe la mapinduzi ikiwemo mechi ya fainali dhidi ya Simba sc ameshindwa kupona baada ya kupatiwa matibabu ya awali na sasa italazimika arudishwe hospitali kwa ajili ya vipimo zaidi ili kujua tatizo linalomsumbua.

Yacouba amekua na wakati mzuri katika mechi za ligi kuu kwa kipindi cha miezi miwili iliyopita akifunga mara nne na kusaidia upatikanaji wa mabao matatu licha ya kutoanza msimu vizuri.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited