Home Makala Lwanga Kuikosa Malawi

Lwanga Kuikosa Malawi

by Dennis Msotwa
0 comments

Shirikisho la mpira wa miguu nchini Uganda FUFA limewalalamikia shirikisho la Mpira nchi ya Malawi walitumia vipimo vya aina gani hadi kukutwa na Covd kiungo wao Taddeo Lwanga anayekipiga pia Simba sc ya Tanzania.
Huu mchezo wa kufuzu AFCON unaochezwa Leo katika uwanja wa Kamuzu nchini Malawi Wowote kati ya Malawi na Uganda atakayeshinda atafuzu moja kwa moja.
Malawi wanaonekana wanatumia nguvu kubwa sana kushinda huu mchezo baada ya Kampuni mmoja ya kusafirisha Mafuta imejitolea kiasi cha fedha “Kwacha” Million 5 za kimalawi sawa na dola Us$ 6500 ambazo ni zaidi ya Million 15 za kitanzania ambapo timu yao ya taifa ya Malawi wakiweza kufuzu Leo kwa Uganda wanajinyakulia.

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited