Simba sc inatakiwa kucheza na Kaizer Chief siku ya ijumaa katika hatua ya robo fainali ya michuano ya klabu bingwa barani Afrika na kisha kurudi nchini haraka kujiandaa na michezo inayofuatia.
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.