Home Soka Straika Biashara Utd atua Yanga sc

Straika Biashara Utd atua Yanga sc

by Sports Leo
0 comments

Klabu ya soka ya Yanga imefanikiwa kumsajili mshambuliaji kinda kutoka katika klabu ya Biashara united ya Mara Yusuph Athumani kwa mkataba wa miaka mitatu.

Mchezaji huyo aliwahi kupitia katika timu ya vijana ya Yanga kabla ya kwenda Mbao Fc ya Mwanza na baadae lusajiliwa na wanajeshi wa mpakani Biashara united.

Athumani (21) amekuwa usajili wa pili wa Yanga kutambulishwa katika dirisha hili baada ya ule wa straika Fiston Mayele kutoka As Vita.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited