Home Soka Grealish mbioni kujiunga Man City

Grealish mbioni kujiunga Man City

by Dennis Msotwa
0 comments

Kiungo wa Kimataifa wa England na klabu ya Aston Villa Jacky Grealish anakaribia kujiunga na klabu ya Man city mara baada ya vilabu hivyo kufikia hatua za mwisho za makubaliano.

Aston Villa wapo tayari kupokea ofa ya Man city ya paundi milionoi 100 na tayari imeshawasajiri Leone Bailey na Danny Ings kama hatua za kujiandaa na maisha bila ya nahodha wao huyo.

Grealish tayari yupoj jijini Manchester na atarajiwa kufanyiwa vipimo vya afya na kutambulishwa rasmi ndani ya wiki hii.Usajili huu utakuwa ghali zaidi katika historia ya soka ya England ukiupiku ule wa Pogba kwenda Man Utd kwa paundi milioni 89 akitokea Juventus.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited