Home Soka Yanga sc Yaleta Mbadala wa Shikhalo

Yanga sc Yaleta Mbadala wa Shikhalo

by Sports Leo
0 comments

Imeelezwa Klabu Ya Yanga Imeanza Mazungumzo Ya Kupata Saini Ya Golikipa Wa Kimataifa Wa Mali Diarra Djidgui kuja kuchukua nafasi ya Golikipa Mkenya Farouk Shikhalo.

Taarifa Zaidi Zinasema Golikipa Huyo Mwenye Umri Wa Miaka 26 Ameandaliwa Mkataba Wa Miaka Miwili Mezani Tayari Kuwatumikia Wananchi Msimu Ujao.

Golikipa Huyo Anayekipiga Katika Klabu Ya Stade Malien FC Ya Hukohuko Nchini Kwao (Mali) ni Moja Ya Wachezaji Waliokiongoza Kikosi Cha Nchi Hiyo Kilichoshiriki Kombe La Dunia Kwa Vijana Chini Ya Umri Wa Miaka 20 Mwaka 2015.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited