Imeelezwa Klabu Ya Yanga Imeanza Mazungumzo Ya Kupata Saini Ya Golikipa Wa Kimataifa Wa Mali Diarra Djidgui kuja kuchukua nafasi ya Golikipa Mkenya Farouk Shikhalo.
Taarifa Zaidi Zinasema Golikipa Huyo Mwenye Umri Wa Miaka 26 Ameandaliwa Mkataba Wa Miaka Miwili Mezani Tayari Kuwatumikia Wananchi Msimu Ujao.
Golikipa Huyo Anayekipiga Katika Klabu Ya Stade Malien FC Ya Hukohuko Nchini Kwao (Mali) ni Moja Ya Wachezaji Waliokiongoza Kikosi Cha Nchi Hiyo Kilichoshiriki Kombe La Dunia Kwa Vijana Chini Ya Umri Wa Miaka 20 Mwaka 2015.
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.