Home Makala Kabwili Aitwa Stars

Kabwili Aitwa Stars

by Dennis Msotwa
0 comments

Kocha mkuu wa timu ya taifa ya Tanzania(Taifa Stars) Kim Poulsen ametangaza majina ya kikosi cha wachezaji 28 kujiunga na kambi ya timu ya Taifa kwa ajili ya mchezo dhidi ya Congo kujiandaa kufuzu mashindano ya kombe la Dunia nchini Qatar 2022.

Katika orodha hiyo jina la kipa Ramadhani Kabwili limeonekana kuzua gumzo kutokana na kuonyesha kiwango duni katika michuano ya kombe la Kagame lililoisha hapo juzi.Baadhi ya mastaa wengine walioitwa ni hawa hapa

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited