Home Kikapu Worriars Mambo Magumu

Worriars Mambo Magumu

by Dennis Msotwa
0 comments

Timu ya Golden State Warriors, imeendelea kufanya vibaya msimu huu baada ya kukubali kichapo cha pointi 108-114 dhidi ya timu ya Oklahoma Thunder.

Licha ya nyota mpya wa Warriors, D’Angelo Russell, kufunga pointi 30 lakini hazikutosha kuiepusha na kipigo kutoka kwa Oklahoma.

Warriors wameonekana kufanya vibaya msimu huu, baada ya kuwakosa nyota wao watatu, Stephen Curry, Draymond Green na Klay Thompson, ambao wote ni majeruhi huku Curry akikosa mechi zote zilizosalia za msimuu huu huku siku ya alhamisi watakua ugenini kuvaana na L.A lakers.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited