Klabu ya Azam Fc imemrejesha klabuni hapo mchezaji Adam Adam kutoka Mashujaa Fc ikiwa imepita miaka 10 tangu aitumikie akademi ya klabu hiyo mwaka 2014 katika michuano mbalimbali ya ndani na nje ya nchi.
Mabosi wa klabu hiyo wameamua kumsajili mchezaji huyo kama usajili huru baada ya kumaliza mkataba na Mashujaa Fc na kuja kuungana tena na waajiri wake wa zamani akiwa kinda wa chini ya miaka 17 ambapo amesaini mkataba wa mwaka mmoja ukiwa na kipengele cha kuongeza mwingine endapo ataonyesha nidhamu na kiwango.
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.