Home Makala Alliance Fc Yatoa Tuzo Kwa Wawili

Alliance Fc Yatoa Tuzo Kwa Wawili

by Sports Leo
0 comments

Uongozi wa Alliance Fc umeendelea kutoa tuzo kwa wachezaji wake ili kungeza morali ya wachezaji kufanya vizuri kenye mechi zao za ligi kuu bara.

Wachezaji waliopokea tuzo jana kwa kufanya vizuri mwezi Novemba na Desemba ni Geofrey Luseke na David Richard ambao pia walikuwa miongoni mwa kikosi kilichopoteza mbele ya Simba kwa kufungwa mabao 4-1.

David Richard amepokea tuzo ya mchezaji bora mwezi Desemba huku Geofrey Luseke akipokea tuzo ya mchezaji bora wa mwezi Novemba.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited