Home Makala Ambundo Atua Dar kumalizana na Yanga sc

Ambundo Atua Dar kumalizana na Yanga sc

by Sports Leo
0 comments

Kiungo Mshambuliaji Dickson Ambundo ametua Dar usiku wa kuamkia leo kuja kuungana na klabu ya Yanga sc na kutambulishwa rasmi kama mchezaji wa klabu hiyo baada ya kufikia makubaliano ya usajili muda mrefu.

Ambundo alikua mchezaji wa klabu ya Dodoma Jiji Fc na taarifa zinadai alishamalizana na klabu ya Yanga sc na ikibaki hatua ya utambulisho tu.

Tayari mchezaji huyo amejumuishwa katika kikosi cha wachezaji watakaocheza michuano ya Kagame ambapo Yanga sc itashuka uwanjani leo kuumana na Nyasa Big Bullets.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited