Home Makala Arsenal Wabebwa Na Dakika Za Nyongeza

Arsenal Wabebwa Na Dakika Za Nyongeza

by Sports Leo
0 comments

Arsenal imepokea kichapo cha mabao 2-1 kutoka Olimpiacos katika mashindano ya ligi UEFA raundi ya 32 yaliyofanyika uwanja wa  nyumbani wa Arsenal,Emirates Stadium.

Olimpiaco walianza kujipatia bao la kwanza dakika ya 53 kupitia Pape Abou Cisse huku bao la kusawazisha kutoka Arsenal lilipatikana dakika ya nyongeza baada ya dakika 90 kukamilika ,dakika ya 113 kupitia PierreEmerick Aubameyang.

Bao la pili Olimpiacos lilifungwa pia kwenye nyongeza dakika ya 120 kupitia Youssef Al Arabi na kuipa ushindi kikosi hicho.

banner

Katika msimamo wa ligi kuu barani Ulaya Arsenal ipo nafasi ya 9 ikiwa imecheza mechi 27 na pointi 37.

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited