Home Makala Azam Fc Tayari Kuinoa JKT Tanzania Kesho

Azam Fc Tayari Kuinoa JKT Tanzania Kesho

by Sports Leo
0 comments

Kikosi cha Azam Fc tayari kimeshatia nanga makao makuu ya nchi ,mkoani Dodoma kwa ajili ya mchezo wao wa kesho dhidi ya JKT Tanzania.

Mabingwa hao watetezi walinyooshwa na Namungo katika uwanja wa Majaliwa kwa kupigwa bao 1-0 katika mechi yao ya mwisho.

Katika msimamo wa ligi kuu bara Azam Fc ipo nafasi ya pili ikiwa imecheza mechi 24 kwa  pointi 45 huku JKT Tanzania ipo nafasi ya sita ikiwa na pointi 38 kibindoni

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited