Home Makala Azam Yawafunga Tepsi,Msindo

Azam Yawafunga Tepsi,Msindo

by Dennis Msotwa
0 comments

Klabu ya Azam Fc imeamua kuwaongezea mikataba nyota wake wawili Tepsi Evance na Pascal Msindo kwa mwaka mmoja zaidi kutoka katika mikataba yao ya awali ambayo ilikua inaisha mwaka 2024.

Pascal msindo akisaini mkataba mpya akiwa na mtendaji mkuu wa Azam Fc Abdulkarim Amin.

Nyota hao awali walikua na mikataba kwa miaka miwili zaidi lakini kutokana na kiwango chao klabu hiyo imeamua kuwaongezea mkataba mipya ambayo itaisha mwaka 2025.

Tepsi Evance akisaini mkataba mpya wa mwaka mmoja akiwa na mtendaji mkuu wa klabu ya Azam Fc Abdulkarim Amin

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited