Klabu ya Azam Fc imeamua kuwaongezea mikataba nyota wake wawili Tepsi Evance na Pascal Msindo kwa mwaka mmoja zaidi kutoka katika mikataba yao ya awali ambayo ilikua inaisha mwaka 2024.

Pascal msindo akisaini mkataba mpya akiwa na mtendaji mkuu wa Azam Fc Abdulkarim Amin.
Nyota hao awali walikua na mikataba kwa miaka miwili zaidi lakini kutokana na kiwango chao klabu hiyo imeamua kuwaongezea mkataba mipya ambayo itaisha mwaka 2025.
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.

Tepsi Evance akisaini mkataba mpya wa mwaka mmoja akiwa na mtendaji mkuu wa klabu ya Azam Fc Abdulkarim Amin