Home Makala Barcelona Kwenye Mikono Ya Xavi.

Barcelona Kwenye Mikono Ya Xavi.

by Sports Leo
0 comments

Xavi Hernandez anaripotiwa kupewa dili la kuinoa timu ya Barcelona kwa kipindi cha miaka miwili akichukua nafasi ya Ernesto Valverde.

Mtendaji mkuu wa Barcelona Oscar Grau na kiongozi Eric Abidal wameonekana kufanya mazungumzo na nyota huyo wa zamani.

Ni mara baada ya kupokea kichapo cha mabao 3-2kutoka  kwa Atletico Madrid kwenye  nusu fainali ya kombe la Super Cup, Saudi Arabia.

banner

Kutua kwa kocha Xavi  ndani ya Barcelona kutampa wakati mgumu wa kuitengeneza timu upya na kuweza kunyakuwa taji la nane la La Liga.

Wengine wanaotajwa kutua Barcelona ni Pep Guardiola kocha wa Manchester City na Thlery Henry.

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited