Home Makala Barkley Atua Villa Kwa Mkopo

Barkley Atua Villa Kwa Mkopo

by Dennis Msotwa
0 comments

Klabu aliyotoka nahodha wa kitanzania Mbwana Samatta ya huko Uingereza,Aston Villa imemsajili Ross Barkley kutoka Chelsea kwa mkopo hadi mwisho wa msimu wa 2020/2021.

Kiungo huyo wa kimataifa alisajiliwa na Chelsea mnamo 2018 akitokea Everton kwa kiasi cha pauni 15 milioni na ameichezea jumla ya michezo 86 Chelsea akifunga mabao 11 na kutoa asisti 11.

Barkley snakamilisha sajili ya tano villa kwenye dirisha hili,kufuatia kuwasili kwa Ollie Watkins,Bertrand Traore,Emilliano Martinez na Matty Cash.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited