Home Makala Beki Azam Fc Apewa Kifungo Cha Miaka Mitatu

Beki Azam Fc Apewa Kifungo Cha Miaka Mitatu

by Sports Leo
0 comments

Lusajo Mwaikenda ambaye ni beki chipukizi wa Azam Fc amesaini upya mkataba wake ambapo ataendelea kutumikia kikosi chake kwa miaka mitatu mbeleni.

Mkataba wa Lusajo ulitakiwa kumeguka mwezi Septemba mwaka huu lakini baada ya kukubali kusaini dili hilo atabaki ndani ya Azam Fc mpaka mwaka 2023.

Nyota huyo kwa sasa anacheza timu ya wakubwa inayoshiriki ligi kuu Tanzania Bara baada ya kupandishwa na timu hiyo msimu wa 2019/20.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited